Jumatano, 30 Machi 2022

TAARIFA KUTOKA WCF

 Greetings from WCF!

Please be reminded to use the Fund’s Online Notification System (ONS) for submission of all occupational accidents, diseases or deaths that may arise out of or in the course of employment of your employees.

To submit incident notifications kindly enrol in ONS by visiting  “portal.wcf.go.tz  select “Occupational Incident Notification” then select “Register Here….” For further assistance, do not hesitate to contact Maulana Kitambazi 0735 352539.

Please be informed that the Fund will not receive manually submitted notifications.

 

Tafadhali kukumbuka kutumia mfumo wa (ONS) kuwasilisha katika Mfuko taarifa ya ajali, ugonjwa au kifo kinachotokana na kazi.  Kuwasilisha taarifa hiyo tafadhali jisajili kwenye mfumo (ONS) kwa kutembelea “portal.wcf.go.tz na kuchagua neno “Occupational Incident Notification” kisha kuchagua neno “Register Here….”  

Kwa msaada zaidi tafadhali wasiliana na Maulana Kitambazi kupitia nambari 0735 352539.

Mfuko hautapokea taarifa ya ajali, ugonjwa au kifo kinachotakana na kazi nje ya mfumo (ONS).

Kauli mbiu yetu

BUFADESO kwa maendeleo ya wakulima

MUHIMU

Makala na picha zinazochapishwa katika blogu hii ni kwa ajili ya taarifa na kumbukumbu za Shirika la Bunda Farmers Development Support Organization (BUFADESO)
Hairuhusiwi kutumia yaliyomo katika blogu hii (HASA PICHA) kwa shughuli zozote bila ruhusa ya mmiliki wa blogu hii ambaye ni BUFADESO