Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Picha. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Picha. Onyesha machapisho yote
Jumapili, 26 Aprili 2020
Jumatano, 15 Aprili 2020
Alhamisi, 15 Machi 2018
UZINDUZI MRADI WA ALIVE
Mkuu wa mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu akihutubia viongozi wa mashirika wadau wa Vi AGROFORESTRY ambao watatekeleza mradi wa miaka mitano (2018-2022) wa ALIVE
Mwenyekiti wa shirika la BUFADESO (wa kwanza kushoto aliyekaa) katika mkutano wa uzinduzi wa MRADI WA ALIVE uliofanyika tarehe 13 -15 Machi 2018 katika ukumbi wa E.L.C.T BUKOBA
Mwenyekiti wa shirika, Bw.Edward CHACHA na Mratibu wa Shirika, Ndg.Baraka KAMESE wakisaini mkataba wa MRADI WA ALIVE
Alhamisi, 17 Agosti 2017
Jumatano, 21 Juni 2017
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
Kauli mbiu yetu
BUFADESO kwa maendeleo ya wakulima
MUHIMU
Makala na picha zinazochapishwa katika blogu hii ni kwa ajili ya taarifa na kumbukumbu za Shirika la Bunda Farmers Development Support Organization (BUFADESO)
Hairuhusiwi kutumia yaliyomo katika blogu hii (HASA PICHA) kwa shughuli zozote bila ruhusa ya mmiliki wa blogu hii ambaye ni BUFADESO
















