Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo KuhusuBufadeso. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo KuhusuBufadeso. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 14 Mei 2016

MKUTANO MKUU WA MWAKA ULIOFANYIKA TAREHE 14/05/2016

Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Mwaka katika eneo la Mkutano Shule ya Sekondari Sazira

Viongozi wa Shirika la BUFADESO

                       Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Shirika la                                         BUFADESO


                              Wasimamizi wa Uchaguzi wakihesabu kura za                                wagombea nafasi za uongozi wa Shirika.

                        Msimamizi wa Uchaguzi akitangaza matokeo ya kura zilizopigwa
                                                    Wajumbe wa katika Kikao

                                  Mratibu wa Shirika Ndg. Baraka Kamese akitoa maelezo ya mikakati ya shirika 

Mkutano mkuu wa shirika la BUFADESO kwa mwaka huu umefanyika leo siku ya Jumamosi tarehe 14/05/2016 katika Shule ya msingi Sazira. Katika Mkutano Mkuu huu viongozi wapya wa shirika la BUFADESO wataoongoza shirika kwa miaka mitatu ijayo wamechaguliwa. Vingozi waliochaguliwa kuongoza shirika ni Edward Chacha kutoka kata ya Mcharo- MWENYEKITI WA SHIRIKA, Anifa Malegesi kutoka Neruma - MAKAMU MWENYEKITI, Joseph Itoka wa kata ya Wariku - KATIBU MKUU, Juma Salumu kutoka kata ya GuTA - KATIBU MSAIDIZI na Marwa Nyamhanga - MHAZINI WA SHIRIKA.


Alhamisi, 5 Mei 2016

WAWEZESHAJI JAMII

Shirika la BUNDA FARMER`S DEVELOPMENT SUPPORT ORGANIZATION (BUFADESO) linalenga kufanikisha utekelezaji wa miradi na shughuli endelevu. Ili kufanikisha uendelevu wa shughuli za shirika na miradi ya walengwa yaani jamii, BUFADESO inatumia WAWEZESHAJI JAMII kufundisha, kuelekeza, Kuunganisha na kuwezesha wanachama wa shirika na jamii kwa ujumla.
Wawezeshaji Jamii wa BUFADESO wakiwa na Mratibu wa Shirika Ndg. Baraka Kamese

WAWEZESHAJI JAMII wa shirika la BUFADESO ni wakulima na wafugaji wataalam ambao ni wanachama wa shirika. Wawezeshaji Jamii hawa wamejengewa uwezo na Shirika la Vi AGROFORESTRY na kuhitimu mafunzo ya aina mbalimbali ikiwemo mafunzo ya Uimarishaji wa vikundi, Kilimo na Mabadiriko ya Tabia Nchi, Kilimo Biashara na Ujasiliamali na Masuala Mtambuka kama Usawa wa kijinsia na Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI.

Wawezeshaji jamii wa shirika la BUFADESO wanafanya kazi kwa kujitolea katika kata na vijiji wanavyotoka. Kila kata mwanachama wa Shirika la Bufadeso ina wawezeshaji jamii wawili; mwanaume na mwanamke.
Afisa kutoka Vi AGROFORESTRY Bw. Paschal Paul akitoa somo kwa wawezeshaji jamii wa shirika la BUFADESO

Jumatano, 30 Machi 2016

ORODHA YA VIKUNDI WANACHAMA WA SHIRIKA LA BUFADESO

   
JINA LA KATA
JINA LA MTANDAO
JINA LA KIKUNDI
IDADI YA WANACHAMA

ME
KE
JUMLA

KETARE
MVIWAKI
Mshikamano
8
11
19

Nipige Tafu
6
10
16

Tupende
0
5
5

Umoja ni Nguvu
1
8
9

Nyarubibita
4
4
8

JUMLA YA KATA
19
38
57


NYAMUSWA
MVIKANYA
Himama
7
5
12

Wawetu
0
20
20

Tumaini A
6
24
30

Tumaini B
4
19
23

Umoja ni Nguvu
0
27
27

Tupendane
6
14
20

Upendo A
0
30
30

Upendo B
4
31
35

Jipe Moyo
12
18
30

Akina mama Msiriganyi
0
30
30

Jiajiri
9
0
9

Tuwama
0
37
37

Nguvu Kazi
3
3
6

JUMLA YA KATA
51
258
309








NYAMANG`UTA
MVIUMANYA
Muungano
6
24
30

Mtazamo
16
19
35

Amani
9
21
30

Upendo
11
19
30

Twiyeze
20
10
30

Tupendane
2
13
15

JITUJI B
5
24
29

Umoja
10
20
30

JUMLA YA KATA
79
150
229








WARIKU
MVIWARIKU
Juhudi
7
21
28

Upendo
4
13
17

Nguvu Kazi
11
14
25

Matokeo
16
15
31

Jipe Moyo
8
15
23

Boresha Maisha
13
9
22

Mshikamano
12
8
20

Umoja
9
16
25

JUMLA YA KATA
80
111
191








NERUMA
MVIWAKANE
Ukombozi Nyuki
4
5
9

Ukombozi A
9
22
31

Ukombozi B
8
24
40

Muungano
10
26
36

Kolambagaya
7
23
30

Upendo A
24
2
66

Upendo B
10
21
31

Maendeleo
6
28
34

watu
0
50
65

JUMLA YA KATA
78
201
279








SAZIRA
SAMILIKI
Tupandane
1
19
20

Jiendeleze
1
9
10

Uboreshaji
9
3
30

Kilimo na Ufugaji
10
5
15

Sherehe
9
5
14

Wisegere
15
8
29

Umoja MISISI
3
4
7

Umoja SAZIRA
2
10
12

Jembe ni mali
5
5
19

Buwoliha
5
14
19

Youth Garden
5
5
10

Juhudi
8
7
15

Vuta
5
3
8

Tujiinue
0
13
13

Kwisakilya
1
13
14

Muungano VICOBA
10
8
18

Mmanyi
13
8
21

Nyaruga
24
10
34

Jipe moyo
5
8
13

Tujikomboe
0
12
12

JUMLA YA KATA
131
169
300








HUNYARI

Mwangaza
3
18
21

Umoja
12
13
25

Mlimani


0

Amani
6
24
30

Dunduliza
11
19
30

JUMLA YA KATA
32
74
106








MCHARO
KINYANCHAMI
Jitegemee VICOBA
10
20
30

Nyamawe
11
4
15

Jipe Moyo
2
6
45

Serengeti VICOBA
12
18
30

Waruma
11
5
16

Nyuki
12
6
46

Nguvu Kazi
8
12
20

Jiokoe
3
7
10

JUMLA YA KATA
69
78
147








KABASA

Mama Fuga
2
6
8

Makalekale
5
2
7

Ufugaji Ng`ombe
3
5
15

Upendo women
0
17
17

Mayawa
6
2
8

Miembe Sita
5
4
9

Busweta
5
4
9

Boma Misitu
6
6
12

Nguvu Moja
8
7
15

Tupendane Makalekale
6
14
20

Sisi kwa Sisi
13
11
24

Jikwamue
25
0
25

JUMLA YA KATA
84
78
162








KUNZUGU

Nyamgutu
7
20
27

Mkombozi
8
11
19

Majengo Mpya
1
15
16

Watoto waishio  mazingira magumu
7
6
13

Stooni
8
8
16

Muungano Stooni
12
18
30

JUMLA YA KATA
43
78
121









GUTA

Jiinue
20
30
50

Furaha
12
17
29

Furaha Akina Mama
0
15
15

Ihale
16
34
50

Victoria
5
5
10

Wasu
6
4
10

Faraja
3
27
30

Ususi
5
10
15

Jitume
0
32
32

Upendo
0
26
26

JUMLA YA KATA
67
200
267

Kauli mbiu yetu

BUFADESO kwa maendeleo ya wakulima

MUHIMU

Makala na picha zinazochapishwa katika blogu hii ni kwa ajili ya taarifa na kumbukumbu za Shirika la Bunda Farmers Development Support Organization (BUFADESO)
Hairuhusiwi kutumia yaliyomo katika blogu hii (HASA PICHA) kwa shughuli zozote bila ruhusa ya mmiliki wa blogu hii ambaye ni BUFADESO