Jumanne, 24 Novemba 2015

Shirika la Wakulima

Shirika la BUFADESO linatoa huduma ya kuwajengea uwezo wanachama wake kwa kuwaelimisha masuala yanayohusu kilimo, ufugaji, uvuvi,  utunzanji wa mazingira na makabiliano dhidi ya mabadirikio ya tabia nchi, ujasiliamali na kilimo mseto & kilimo biashara.
Mwezeshaji jamii wa shirika la BUFADESO akitoa maelezo katika mafunzo

BUFADESO ni shirika la wakulima na wafugaji linaliundwa na vikundi. Miongoni mwa vikundi hivi ni pamoja na
1. Vikundi vya kuweka na kukopa.
2.Vikundi vya wanawake(kina mama)
3.Vikundi vya vijana
3.Vikundi vya ufugaji
4.Vikundi vya kilimo
5.Vikundi vya upandaji miti
6.Vikundi vya kusaidiana
7.Vikundi vya wajasiriamali
8.Vikundi vya Kujifunza

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Kauli mbiu yetu

BUFADESO kwa maendeleo ya wakulima

MUHIMU

Makala na picha zinazochapishwa katika blogu hii ni kwa ajili ya taarifa na kumbukumbu za Shirika la Bunda Farmers Development Support Organization (BUFADESO)
Hairuhusiwi kutumia yaliyomo katika blogu hii (HASA PICHA) kwa shughuli zozote bila ruhusa ya mmiliki wa blogu hii ambaye ni BUFADESO