Ijumaa, 8 Machi 2019

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

"BADIRI FIKRA KUFIKIA USAWA WA KIJINSIA KWA MAENDELEO ENDELEVU"
Image may contain: one or more people and crowd
Katika Picha, Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mwl. Lydia S. Bupilipili akikagua shughuli za kijasiriamali zinazofanywa na wanawake wa wilaya ya Bunda. Kauli mbiu ya mwaka huu kitaifa inalenga kubadiri fikra kwa wanajamii ili waweze kumthamini mwanamke kuwa anaweza kufanya kama mwanaume. Hivyo basi jamii inasisitizwa kuzingatia usawa wa kijinsia kuanzia fursa, matumizi ya rasilimali na muda. Tukiwapa wanawake na wanaume fursa sawa, itakuwa chachu kubwa ya kufikia maendeleo endelevu.

Na:
Baraka Kamese

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Kauli mbiu yetu

BUFADESO kwa maendeleo ya wakulima

MUHIMU

Makala na picha zinazochapishwa katika blogu hii ni kwa ajili ya taarifa na kumbukumbu za Shirika la Bunda Farmers Development Support Organization (BUFADESO)
Hairuhusiwi kutumia yaliyomo katika blogu hii (HASA PICHA) kwa shughuli zozote bila ruhusa ya mmiliki wa blogu hii ambaye ni BUFADESO