Jumatatu, 18 Januari 2016

TUJIUNGE NA VIKUNDI VYA HISA

Vikundi vya Hisa (kuweka na kukopa) ni mpango uliosaidia na unaoendelea kusaidia maisha ya wakulima vijijini kupata fursa ya kujiwekea akiba na kupata mikopo yenye masharti nafuu. Mpango huu umesaidia kuinua maisha ya wakulima hasa kupata mitaji ya kuanzisha na/au kuendeleza shughuli za kilimo na ufugaji pamoja na biashara ndogondogo.
                                                                                 Wanachama wa kikundi cha Hisa kutoka kijiji cha Sarawe wilayani Bunda

Vikundi vya Hisa ni vikundi gani?
Hivi ni vikundi vya kuweka akiba(fedha) na kukopeshana vinavyoundwa kwa hiari na watu wanaojuana kutoka sehemu moja. Wanakikundi hupata fursa ya kuweka akiba, kupata mikopo na kupata fursa ya huduma ndogondogo za kijamii kama afya na elimu. Mikopo katika vikundi hivi hurudishwa na ziada(riba) nafuu. Mwisho wa mwaka wanachama hugawana hisa, riba na faini zilizokusanywa katika mzunguko kulingana na Idadi ya hisa kila mwanachama alizonunua ndani ya mwaka.
Wadau wa vikundi vya hisa mara nyingi ni watu wa jinsia zote, Wanawake na Wanaume. Kikundi kimoja cha Hisa huwa na wastani wa wanakikundi kati ya 15 mpaka 30. Uzoefu unaonyesha kuwa vikundi vyenye wanachama wengi kupita kiasi huwa vina kosa ufanisi wa Uendeshaji hasa pale kikundi kinapokuwa na tabaka la watu wa kawaida. Ni vizuri kikundi cha hisa kiwe na Idadi ya wanachama wasiozidi thelathini (30).
Faida za vikundi vya Hisa ni pamoja na
v  Kusaidia wanachama kupata mitaji ya kuanzisha na kuendeleza shughuli za kiuchumi.
v  Ziada ya mkopo (riba) ni kidogo hivyo haimuumizi mkopaji.
v  Mwanachama hupata gawio la faida inayopatikana.
v  Ni rahisi kuweka akiba kutokana na kiasi kiwango kidogo ambacho wanakikundi hukubaliana kwa pamoja.
v  Huwezesha wanakikundi kupata fursa na huduma za kijamii kama afya na elimu.
v  Ni rahisi kuendesha kikundi.
v  Wanakikundi hupata fursa ya kuelimika katika kikundi.

Shirika la BUFADESO lina wanachama wanaonufaika na mfumo wa Hisa. Asilimia 60 ya wanachama wa shirika wanapata huduma za Mfumo wa Hisa katika vikundi vyao. BUFADESO hutoa elimu ya uandaaji, uanzishaji, uimarishaji wa vikundi vya Hisa kwa maendeleo ya wakulima, wafugaji na wavuvi wa wilaya ya Bunda.

Maoni 1 :

  1. 𝗜𝗝𝗨𝗪𝗘 𝗧𝗛𝗔𝗠𝗔𝗡𝗜 𝗡𝗔 𝗡𝗚𝗨𝗩𝗨 𝗬𝗔 𝗣𝗘𝗦𝗔 𝗜𝗟𝗜𝗬𝗢 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔𝗞𝗢.

    Mtu mwenye pesa
    akijiskia vibaya atakumbuka mali zake
    atarudi kwenye hali ya kawaida,

    Ukikosa pesa ni mapambano na ni ngumu kurudi kwenye hali ya kawaida.

    Watu wanasema hakuna thamani ya pesa au mali inayo zidi thamani ya mtu.Hata wewe ni zaidi ya mali na pesa.

    Kujiskia vizuri ni high frequency kujiskia vibaya ni low frequency.

    Ukiishi kwenye high frequency riziki zinafunguka
    Ukiishi kwenye low frequency riziki zinafunga.

    Mtu mwenye pesa atakumbuka mali zake. Atarudi hali ya kawaida, Hali ya kujiskia vizuri
    Ipo kauli inasema aliye nacho huongezewa.watu hawa wanadumu kwenye high frequency.
    High Frequency ndio channeli ya riziki.

    Muda wote ukiwa kwenye high frequency nyota inang'aa bila kulazimishwa.
    Muda wote ukiwa kwenye low frequency nyota inazima bila kulazimishwa.

    Asikudanganye Mtu kwamba huna kitu.
    Wewe umepewa muda hapa duniani ujitambue ili uwe wewe. Ndio maana bado unaishi.
    Kujiskia vizuri ni channeli ya Riziki.
    Hakikisha unapatikana kwenye channeli hiyo.
    Riziki zitakuona ukiwa kwenye high frequency.

    Low frequency ni barabara ya giza na mikosi hakuna riziki kwenye mikosi.
    Huna pesa tafuta nyaraka iliyo andika wewe ni nani.
    Utakumbuka wewe ni nani.
    Itakusaidia kujiskia vizuri.

    Wachawi wana kauli zao , nini kina mpa kiburi. Watu wabaya wanapenda ujiskie vibaya muda wote.
    Ili uendelee kuwa masikini.

    Muda wowote ukijiskia vibaya. shika nyaraka Yako,
    iliyo andika wewe ni nani,
    mara zote ukiisoma uta kumbuka uwezo wako mkubwa .
    utajiskia vizuri,
    kwa kuwa uwezo wako ni
    hazina ya siri.

    (Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajiri ni hazina kutoka kwa mwenyezi Mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)

    CALL/WHATSUP +255 742162843

    MPAKA MASAA 48(SIKU2) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    POPOTE ULIPO TIBA INAKUFIKIA HATA WALIO NJE YA NCHI
    #kenya
    #Uganda
    #Congo
    #Rwanda
    #Burundi
    #tanzania #trendingpost

    KARIBU DOKTA MDIRO

    NIPIGIE/ WHATSUP

    +255 742162843

    JibuFuta

Kauli mbiu yetu

BUFADESO kwa maendeleo ya wakulima

MUHIMU

Makala na picha zinazochapishwa katika blogu hii ni kwa ajili ya taarifa na kumbukumbu za Shirika la Bunda Farmers Development Support Organization (BUFADESO)
Hairuhusiwi kutumia yaliyomo katika blogu hii (HASA PICHA) kwa shughuli zozote bila ruhusa ya mmiliki wa blogu hii ambaye ni BUFADESO