Jumamosi, 14 Mei 2016

MKUTANO MKUU WA MWAKA ULIOFANYIKA TAREHE 14/05/2016

Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Mwaka katika eneo la Mkutano Shule ya Sekondari Sazira

Viongozi wa Shirika la BUFADESO

                       Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Shirika la                                         BUFADESO


                              Wasimamizi wa Uchaguzi wakihesabu kura za                                wagombea nafasi za uongozi wa Shirika.

                        Msimamizi wa Uchaguzi akitangaza matokeo ya kura zilizopigwa
                                                    Wajumbe wa katika Kikao

                                  Mratibu wa Shirika Ndg. Baraka Kamese akitoa maelezo ya mikakati ya shirika 

Mkutano mkuu wa shirika la BUFADESO kwa mwaka huu umefanyika leo siku ya Jumamosi tarehe 14/05/2016 katika Shule ya msingi Sazira. Katika Mkutano Mkuu huu viongozi wapya wa shirika la BUFADESO wataoongoza shirika kwa miaka mitatu ijayo wamechaguliwa. Vingozi waliochaguliwa kuongoza shirika ni Edward Chacha kutoka kata ya Mcharo- MWENYEKITI WA SHIRIKA, Anifa Malegesi kutoka Neruma - MAKAMU MWENYEKITI, Joseph Itoka wa kata ya Wariku - KATIBU MKUU, Juma Salumu kutoka kata ya GuTA - KATIBU MSAIDIZI na Marwa Nyamhanga - MHAZINI WA SHIRIKA.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Kauli mbiu yetu

BUFADESO kwa maendeleo ya wakulima

MUHIMU

Makala na picha zinazochapishwa katika blogu hii ni kwa ajili ya taarifa na kumbukumbu za Shirika la Bunda Farmers Development Support Organization (BUFADESO)
Hairuhusiwi kutumia yaliyomo katika blogu hii (HASA PICHA) kwa shughuli zozote bila ruhusa ya mmiliki wa blogu hii ambaye ni BUFADESO