Jumanne, 28 Machi 2017

KABILI FUNZA WAHARIBIFU WA MAHINDI

Katika msimu huu wa kilimo, zao la mahindi katika maneneo mengi limevamiwa na funza waharibifu.
Wakulima wengi wamekata tamaa kutokana na mashambulizi ambayo yana athiri sana zao za mahindi kwa sasa.

Kukabiliana na funza hawa. Jaribu kutumia dawa ya kuuwa wadudu ijulikanayo kama NINJA. Dawa hii inaonyesha matokeo mazuri ya kupambana na funza hawa. Ili kupata matokeo mazuri zaidi inashauriwa kutumia angalau mara mbili. Mara ya pili, nyunyuzia baada ya siku tatu tangu ulipotumia kwa mara ya kwanza.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Kauli mbiu yetu

BUFADESO kwa maendeleo ya wakulima

MUHIMU

Makala na picha zinazochapishwa katika blogu hii ni kwa ajili ya taarifa na kumbukumbu za Shirika la Bunda Farmers Development Support Organization (BUFADESO)
Hairuhusiwi kutumia yaliyomo katika blogu hii (HASA PICHA) kwa shughuli zozote bila ruhusa ya mmiliki wa blogu hii ambaye ni BUFADESO