Alhamisi, 15 Machi 2018

UZINDUZI MRADI WA ALIVE

Mkuu wa mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu akihutubia viongozi wa mashirika wadau wa Vi AGROFORESTRY ambao watatekeleza mradi wa miaka mitano (2018-2022) wa ALIVE

Mwenyekiti wa shirika la BUFADESO (wa kwanza kushoto aliyekaa) katika mkutano wa uzinduzi wa MRADI WA ALIVE uliofanyika tarehe 13 -15 Machi 2018 katika ukumbi wa E.L.C.T BUKOBA


Mwenyekiti wa shirika, Bw.Edward CHACHA na Mratibu wa Shirika, Ndg.Baraka KAMESE wakisaini mkataba wa MRADI WA ALIVE

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Kauli mbiu yetu

BUFADESO kwa maendeleo ya wakulima

MUHIMU

Makala na picha zinazochapishwa katika blogu hii ni kwa ajili ya taarifa na kumbukumbu za Shirika la Bunda Farmers Development Support Organization (BUFADESO)
Hairuhusiwi kutumia yaliyomo katika blogu hii (HASA PICHA) kwa shughuli zozote bila ruhusa ya mmiliki wa blogu hii ambaye ni BUFADESO